Karibu KKKT Kibamba DMP

KKKT Usharika wa Kibamba ni miongoni mwa makanisa katika Dayosisi ya Mashariki na Pwani Jimbo la Magharibi, Kanisa lipo eneo la Kibamba (kwa Mangi) kando ya barabara ya Morogoro upande wa kushoto kama unaelekea Kibaha.

Soma zaidi..

Image

Matangazo

KKKT Usharika wa Kibamba Ibada ya Tarehe 25-January-2026 Neno Kuu Warumi 16:5-7

Maombi ya mfungo wa siku 21 kuanzia Tarehe 13 January hadi 31 : Saa 12:00 Jioni hadi Saa 01:00 Jioni,Usharikani

Ibada ya Wanafunzi wa Kipaimara Mwaka wa kwanza Tarehe 24 January 2026: Saa 12:30 asubuhi

Semina ya Viongozi (6) wa vikundi vyote usharikani tarehe: 24 Jan. 2026 : saa 12:30 Asubuhi

Idadi ya Waumini

397 wanaume
278 Wanawake
51 Watoto
851 Jumla
KKKT USHARIKA WA KIBAMBA DMP

Matukio Usharikani

Image
05 October 2025 KKKT Kibamba

Mashindano ya kwaya Kijimbo

Kwaya Kuu ya usharika wa KKKT Kibamba ikiimba katika mashindano ya Nyimbo Kijimbo

Soma Zaidi

Image
10 December 2025 KKKT Kibamba

Siku Kuu ya Mavuno

Washarika wa KKKT Kibamba wakimtolea Mungu sadaka ya Mavuno

Soma Zaidi

Image
03 January 2026 KKKT Kibamba

Ujenzi wa Jengo la Kanisa

Ujenzi wa Kuta za kukinga jua na Mvua pamoja na Ofisi ya Mchungaji unaendelea usharikani

Soma Zaidi..

KKKT USHARIKA WA KIBAMBA DMP

Baraza la Viongozi

Prev Next

Mchungaji Kiongozi

Mchungaji Christowelu Mande ndiye Mchungaji kiongozi wa usharika wa kibamba.
Image Christowelu Mande Mchungaji

KKKT DMP Magharibi

Mchungaji Anta Muro Mkuu wa Jimbo la Magharibi KKKT DMP
Image Anta Muro Mkuu wa Jimbo la Magharibi

KKKT & DMP

Askofu Doctor Alex Gehazi Malasusa ndiye Askofu Mkuu wa KKKT
Image Dr. Alex G. Malasusa Askofu Mkuu KKKT
KKKT USHARIKA WA KIBAMBA DMP

RATIBA ZA IBADA

JUMAPILI

SAA 1:30 Hadi SAA 4:00 Asubuhi

Ibada hii itajumlisha na Ibada ya Watoto (Sunday School)

SAA: 4 :00 hadi Saa 7:00 Mchana

JUMA TANO

SAA 10:00 Hadi SAA 12:00 Jioni

Masomo ya Biblia (Bible Study)

IJUMAA

SAA 10:00 Hadi SAA 12:00 Jioni

Maombi na Maombezi.

JUMAMOSI

SAA 12:30 Hadi SAA 2:00 Asubuhi

Ibada za Jumuiya pamoja na Mazoezi ya Vikundi vya huduma.

KKKT USHARIKA WA KIBAMBA DMP

Huduma za Kiroho

SAKRAMENT NA NDOA

Huduma ya Chakula cha Bwana (Sakrament Takatifu) hutolewa, Ndoa Takatifu ufungishwa baada ya Mafundisho Karibu KKKT Kibamba

UBATIZO NA KIPAIMARA

Huduma za Ubatizo kwa Watoto na Watu Wazima sambamba na Mafundisho ya Kipaimara hutolewa Karibu KKKT Kibamba

MAOMBI NA MAOMBEZI

Huduma za Maombi na Maombezi hutolewa kwa kila muhitaji bila gharama, Kwa Jina La Yesu Kristo Karibu KKKT Kibamba

Wamtumainio Bwana ni Kama Mlima Sayuni

Loading...
http://besucherzählerkostenlos.com/