Ofisi ya mchungaji huusika kutoa mafundisho ya ndoa pamoja na kurudisha kundini waumini
Kupitia Biblia Takatifu Neno la Mungu ndio linatumika katika kufundisha na kuhubiri Injili
Mafundisho ya Kipamira Kwa watoto na watu wazima kwa kufuata taratibu za KKKT
Semina mbalimbali za kimwili na Kiroho hufanyika usharikani
Darasa la Watoto Sunday School ipo kila Jumapili kwa ajili ya kuwatunza watoto Kirohoi na Kimwili
Kanisa linatoa huduma kwa wenye uhitaji maalumu wa Kiroho,au Kimwili
Ibada hii itajumlisha na Ibada ya Watoto (Sunday School)
Masomo ya Biblia (Bible Study)
Maombi na Maombezi.
Ibada za Jumuiya pamoja na Mazoezi ya Vikundi vya huduma.
Huduma ya Chakula cha Bwana (Sakrament Takatifu) hutolewa, Ndoa Takatifu ufungishwa baada ya Mafundisho Karibu KKKT Kibamba
Huduma za Ubatizo kwa Watoto na Watu Wazima sambamba na Mafundisho ya Kipaimara hutolewa Karibu KKKT Kibamba
Huduma za Maombi na Maombezi hutolewa kwa kila muhitaji bila gharama, Kwa Jina La Yesu Kristo Karibu KKKT Kibamba